Blogger Widgets Blogger Widgets

Wednesday, November 19, 2014

NEWS:UJUMBE WA WITNESS KWA WADAU WA MUZIKI


Habari zenu watu wangu watanzania pamoja na mchanganyiko wa mashabiki zangu kama ilivyo MAFNIKIO HAYAJI HIVI HIVI lazima utengeneze njia so nimeingia kwenye shindano la airtel trace music star kwa kuwa vigezo vyote ninavyo ninatumia airtel,ni muimbaji na ni rapper na pia ninhitaji kuwa kwnye ramani ya kimataifa zaidi ikiwapo kuna fursa hii kama moja wapo ya hatua ambazo zinaweza kunifikisha kutimiza ndoto yangu ya kufanya collabo na buster rhymes na kurekodi kwnye studio kubwa nchini marekani,mimi mimepiga hatua ya kurekodi wimbo kwa njia ya cmu kama ilivyo sheria ya mashindano na kujajiwa na kupewa codes zangu ambazo mnaweza nipgia kura ili niweze kutimiza ndoto zangu kwa kuwaomba sapoti yenu ndugu jamaa marafiki, baba mama,dada mashabiki pamoja na wapenda maendeleo kwa kutumia fursa hii,ili kunipgia kura waweza kufanya hvyo kwa kupiga cmu namba 0901002233 na utasikiliza maelekezo na utapaswa kuandika namba za mshiriki ambazo ni 55101055 then ukiisha sikiza una malizia na alama ya reli # na ukipenda waweza txt namba zangu 55101055 kwnda 15594 hapo utakua imenisapoti na unaruhusiwa kunipigia kura mara nyingi uwezavyo kabla ya tarehe 10 december much love! Witnesz the fitnes hapa

No comments: